Mashtaka yake yanatokana na maandamano yaliokatazwa ambayo kiongozi huyo Paulin Makaya aliyapanga mwaka 2015.
Maandamano hayo yalifanywa kupinga kura ya maoni iliomaliza kipindi cha awamu mbili za kuwa raia na kumruhusu rais aliye mamlakani Denis Sassou Nguesso kupigania awamu ya pili mnamo mwezi Machi mwaka huu.
Makaya alisema kuwa ataka rufaa dhidi ya hatia hiyo huku wakili wake akiutaja uamuzi huo kuwa usio wa haki na haramu.
Source-BBC SWAHILI
No comments:
Post a Comment